Tatizo kubwa la IT limeathiri mabenki na mashirika ya ndege, media, mahospitali, mawasiliano na mifumo ya kiusalama kutokana na matatizo ya huduma za Microsoft kushindwa kufanya kazi duniani kote.

Kompyuta zote zinaonyesha BSoD'd (Blue Screen of Death) #Teknolojia #Usalama

๐Ÿ†• Apple imepewa hatimiliki kwa iPhone/iPad ambazo zinatumia kioo kinachokunjika.

๐Ÿ”˜ Hatimiliki hiyo inalenga kioo chembamba kinachokunjika na kuhakikisha uimara wakati wa kuanguka.

#Apple #Teknolojia

๐Ÿ†• X inaboresha ushirikishwaji kwa watumiaji kwa kuingiza chatbot ya Grok AI, kutoa muhtasari wa akaunti na posts.

๐Ÿ”˜ Hii ni sehemu ya juhudi za Elon Musk za kuweka AI ya Grok ndani ya mifumo ya X/Twitter. #Teknolojia #AI #Grok

๐Ÿ†• Apple na Meta ya kuweka ushirikiano wa AI.

๐Ÿ”˜ Apple inalenga kuongeza vipengele vya AI kwenye bidhaa zake na kuweka Meta AI kwenye vifaa vya Apple kama vile iPhone, iPad na Mac.

#Teknolojia #Apple #Meta #AI

Jinsi ya kutunza simu kwa muda mrefu:
Hakikisha unatumia chaja sahihi na usizidishe kuchaji simu yako ili kuepuka kuiharibu betri. Epuka kuitumia simu yako wakati inachaji ili kuzuia overheat. Pia hakikisha unafuta cache mara kwa mara na kufanya updates za software. #Simu #MudaMrefu #Teknolojia

Kwa #teknolojia hii ambayo inasasishwa, inabadilika kila siku, utaona kwamba kazi nyingi za #Kiufundi zinahitaji wewe kucheza na #EEPROM!
Haya mambo hayafundishwi katika #shule, kwa hivyo #Jiamini, #UsikateTamaa, yaani usifikirie kwa sababu haukuenda shule, kwamba huwezi kufanya #ujanja huu!

#5021tips tunatoa kwa uwazi mbinu zote!

On www.5021.tips/ujanja/tryeproms kuna programu tumekupa ufanye mazoezi!

#EEPROMwork #HapaUjanjaTu
#ProgrammingTips #jifunze #DiY