@wonderfulmbanda Bana alafu nikiwafollow back napata kama waser wote wanaitumia
@wonderfulmbanda Nishamaliza kumove followers hadi
Ni kubad wadau hii ni kama itaenda nirise Tena upya๐ข
@kiokopas Bana naona wewe ni kizungu tu ๐๐
Nimeona Kuna walami wananifollow nitaanza kupublish na English sasa.So sad ๐ข
Money is just part of the success but the real success is to fulfill your goals and make a change on the people who dire in need of help
@vetu_vetu Alafu sasa ukifika 100 unakuwa influencer unaanza kupewa gigs๐
Kuinama nikaa ishakua kawaida kwangu๐ช๐ช
Nikiwa class Kuna msee aliweka Ile sound ya ngwati for about 5 minutes na Lec akaignore bana though kwetu ilikuwa inasound awkward.๐๐