https://archive.org/details/wanawake-wa-tanu
Wanawake wa TANU. Jinsia na Utamaduni katika Kujenga Uzalendo Tanganyika: 1955-1965 by Susan Geiger; Elieshi Lema
Topics
#TANU, #wanawake, #Tanganyika, #Tanzania, #historiayaTanzania, #mapambano, #uzalendo, #ukoloni
"Wananchi wa Tanganyika walijipatia uhuru wao kutoka kwa Waingereza mwaka 1961 kupitia mapambano yaliyoongwozwa na jumuiya yenye nguvu chini ya uratibu wa chama cha TANU. Wanawake wazalendo walikuwa ni viongozi mashuhuri katika medani zote kwenye ngazi mbalimbali."